




TSh 80,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara mwisho

Peter D
Verified documentsApartment ina chumba na sebule na choo cha nnje cha kushea, ipo sehemu tulivu yenye usalama na wapangaji 4 tu nyumba imepigwa rangi ni ya kudeki na kuhamia tu, chini imewekwa floor ya rangi ya kijani, umeme upo na kila mtu ana sub-meter yake, karibu sana
TSh 80,000 per month
Safety tips
Similar properties