




TSh 80,000,000
Dar es Salaam , Ilala , Tabata , 2 years ago
Mangumi

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ina eneo kubwa sana ambalo halijatumika pia umeme na maji dawasa vyote vipo, Inafikika kirahisi kwa aina yoyote ya usafiri nyakati zote za mvua na kiangazi. Ipo mtaa mzuri wenye usalama na uliojengeka kisasa. Karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO
TSh 80,000,000
Safety tips
Similar properties