




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
kimara korogwe

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Nyumba ipo ndani ya fence na inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita yake ya maji. Nyumba ipo umbali wa dakika 4 kutoka kituo cha mwendokasi na njia yake ni rafiki kwa usafiri wa aina yoyote.
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties