




TSh 99,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 1 year ago
Makabe (msakuzi makamba school)

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko na public toilet ndani.Umeme na maji DAWASA vyote vipo. Ipo mtaa mzuri uliopimwa na kujengeka kwa mpangilio. Nyumba hii ina hati ya mauziano ya serekali ya mtaa lakini kiwanja chake kimepimwa na atakaye nunua hati itatoka kwa jina lake. Karibu sana maongezi kidogo yapo
TSh 99,000,000
Safety tips
Similar properties