




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 1 year ago
Bucha

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani na kila chumba kina kabati (wardrobe). Zipo apartment 3 ndani ya fensi na kila moja inajitegemea luku yake yenyewe na maji yapo dawasa, apartment zipo ndani ya fensi na niumbali wa km1 kutoka mwendokasi, usafiri upo pkpk 1,000
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties