




TSh 35,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 2 years ago
Mbagala chamazi karibu na azam complex
Prince Realtor
Verified documentsNyumba zipo mbili kwa pamoja zina uzwa zote kwa pamoja tsh million 35 tu Nyumba zipo mbagala Azam complex Nyumba ya kwanza ina vyumba vnne vya kulala kimoja master bedroom Na nyingine ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master bedroom Maji na umeme upo Nyumba kalli sana Zipo ndani ya fence gari ndogo 2 zina ingia ndani Kutoka bara bara kuu ya lami kuja kwenye hii nyumba nzuri bei ya kutupa sana zote mbili kwa pamoja zina uzwa tsh million (35) tu
TSh 35,000,000
Safety tips
Similar properties