
TSh 20,000,000 per month
Manyoni , Singida , Itigi Mjini , 1 year ago
Itigi Mjini
Evance Rimoy
Verified documentsTANGAZO LA SHAMBA LINATANGAZWA KUUZWA Linauzwa shamba lenye ukubwa wa hekari 10, lipo Itigi, Wilaya ya Singida, katika Kijiji cha Doroto. Shamba lipo mita 100 tu kutoka barabara ya lami, hivyo linafikika kwa urahisi msimu wote. Shamba linafaa kwa matumizi mbalimbali ikiwemo: Kilimo cha mazao ya aina zote Ufugaji wa kisasa Makazi au uwekezaji wa maendeleo Eneo ni zuri, lenye rutuba na mazingira tulivu, linafaa kwa mtu binafsi au mwekezaji.
TSh 20,000,000 per month
Safety tips
Similar properties