tre.gif
4X TOP+
Shamba La Hekari 10 Itigi, Kijiji Cha Doroto, Mita 100 Toka Kwenye Lam in Itigi Mjini

TSh 20,000,000 per month

Manyoni , Singida , Itigi Mjini , 1 year ago

Shamba La Hekari 10 Itigi, Kijiji Cha Doroto, Mita 100 Toka Kwenye Lam

Property address

Itigi Mjini

Evance Rimoy

Verified documents

Commercial Land

Mixed

TANGAZO LA SHAMBA LINATANGAZWA KUUZWA Linauzwa shamba lenye ukubwa wa hekari 10, lipo Itigi, Wilaya ya Singida, katika Kijiji cha Doroto. Shamba lipo mita 100 tu kutoka barabara ya lami, hivyo linafikika kwa urahisi msimu wote. Shamba linafaa kwa matumizi mbalimbali ikiwemo: Kilimo cha mazao ya aina zote Ufugaji wa kisasa Makazi au uwekezaji wa maendeleo Eneo ni zuri, lenye rutuba na mazingira tulivu, linafaa kwa mtu binafsi au mwekezaji.

TSh 20,000,000 per month

Safety tips

  • Avoid paying inspection fees
  • If possible, go for viewing with friends
  • Check everything carefully to make sure it's what you need
  • Don't pay in advance if it's impossible to move in immediately

Similar properties