




TSh 490,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Sinza , 2 years ago
Sinza Vatcan

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa na ipo jirani na barabara inapangishwa bei ni 400,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba master #sebule #jiko kubwa #public toilet #luku inajitegemea #maji yanatoka ndani masaa 24 #parking bei ni 400,000/=x 6 ilipwe laki 4 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii nzuri ipo sinza vatican na ipo jirani kabisa na main road na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba ukilipia nyumba hii utalipia na pesa ya tahadhari (caution money) shilingi laki 2 tuu kuoneshwa nyumba hii garama yake ni elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 490,000 per month
Safety tips
Similar properties