




TSh 45,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 1 year ago
Matosa

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji DAWASA vyote vipo, kuifikia nyumba hii ukitumia goba road kwenye round about ya njia nne unafwata muelekeo wa kwenda matosa ambao unakufikisha mpaka kwenye nyumba pia ukipitia Kimara mwisho au Temboni pia inakufikisha. Nyumba hii ina hati ya mauziano ya serekali ya mtaa . Karibu sana
TSh 45,000,000
Safety tips
Similar properties