




TSh 650,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbweni , 2 years ago
Moga

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala viwili ni master sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ipo ndani ya fence inayojitegemea yenyewe, full paving blocks, garden nzuri sana na inafikika kwa urahisi mno, nyumba imejengwa mtaa mzuri uliojengeka kibabe. Nyumba hii ina hati miliki ya wizara (CLEAN TITLE DEED). Karibu sana MAONGEZI YAPO
TSh 650,000,000
Safety tips
Similar properties