




TSh 45,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 1 year ago
Chuo

Peter D
Verified documentsNyumba hii ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji vyote vipo, pia ina servant quarter ambayo unaweza kumalizia na kuweka wapangaji, iko umbali wa mita 800 kutoka lami na kiwanja chake kina sqm400, hati yake ni ya mauziano ya serekali ya mtaa, karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO.
TSh 45,000,000
Safety tips
Similar properties