




TSh 1,500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 months ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsJumba kubwa la kisasa linapangiswa unaweza kufanya ofisi au nyumba ya makazi bei ni 1,500,000/= x 6 bila kusahau pesa ya tahadhari kodi ya mwezi mmoja nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #dinning #jiko kubwa la kisasa #public toilet #air-conditioning #garden pia kuna servant coter ya chumba na sebule na choo na jiko la nje pia bei ni 1,500,000/= x 6 jumba hili lipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi njia iliyowekwa lami na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 5 tuu kwa miguu na njia ni lami tupu hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 1,500,000 per month
Safety tips
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Bungalow for Rent in kinondoni
Bungalow for Rent in dar-es-salaam
3 Bedrooms Bungalow for Rent in kinondoni
3 Bedrooms Bungalow for Rent in dar-es-salaam
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in kinondoni
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Similar properties