




TSh 400,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 9 months ago
LUGURUNI

Haven Real Estate
Verified documentsNauza yard na magodauni mawili mbezi luguruni dar es salaam yard --ina eneo la sqm 8378 --kuna ofisi ndogo --kuna nyumba ya msimamizi --bei ni million 400 magodauni --yapo mawili ( dogo na kubwa ) --eneo lote ni sqm 7007 --kuna bwawa la samaki --kuna nyumba ya wafanyakazi --bei ni million 480 miundombinu zote zipo, malori yanafika mpaka ndani, maji ya dawassa yapo, umeme ukubwa upo. panafaa kwa uwekezaji wowote. kwa maelezo zaidi piga simu ndugu mteja mado
TSh 400,000,000
Safety tips
Similar properties