




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kijitonyama , 4 years ago
mbez ya kimara

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking #zipo apartment 3 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi bei ni 250k x 6 apartment hii ipo mbezi mwisho upande wa kulia njia ya kuelekea makabe kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1.5 kwa gari pia kuna usafiri wa kuchangia ambao ni daladala na bajaji sh 500 njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties