




TSh 35,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Malamba mawili
Prince Realtor
Verified documentsNyumba mbili tofauti zinauzwa mbezi malamba mawili unaweza kununua kwazote mbili bei yake ni tsh milion 70 maongezi yapo au unaweza kununua nyumba moja tu bei yake tsh milion 35 maongezi yapo kila nyumba ina vyumba 3 vya kulala chumba kimoja master sitting room dinning room kitchen public toilet plasta tayari bandalingi tayari nb: unaweza kununua kwa zote au unanunua nyumba moja mana kila nyumba inajitegemea kiwanja chake , ila tu zimekaribiana karibu karibu na zote za mtu mmoja kila nyumba ina ukubwa wa eneo sqm 400
TSh 35,000,000
Safety tips
Similar properties