




TSh 250,000,000
Dar es Salaam , Ilala , Tabata , 3 years ago
Bonyokwa

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala viwili ni masters, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ipo km 1.6 kutoka segerea pia iko mtaa mzuri uliochangamka na huduma zote za kijamii zinapatikana kwa urahisi, nyumba ina full document ya hati ya mauziano ya serikali ya mtaa... karibu sana USIOGOPE BEI MAONGEZI YAPO
TSh 250,000,000
Safety tips
Similar properties