




TSh 200,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 15 days ago
Kimar korogwe

Dalali Selebobo
Verified documentsHizi apartment zipo 4 tu kwenye compaund moja kati izo moja ipo wazi #bei 200k #sebule wastani #chumba master #jiko #choo cha wageni nje #luku 2 tu #maji dawasa ndani #tailzy gipsam madirisha ya shata wavu #nyumba zipo kwenye fensi ila sio ya kulaza gari #location kimara korogwe dk 5 tu kwa miguu kutoka mwendokasi #bei ni 200,000 kwa mwezi malipo miezi sita #note kuja kuona nyumba ni shilingi elfu 20 ya kitanzania mpaka upate nyumba
TSh 200,000 per month
Safety tips
Similar properties