




TSh 250,000,000
Dar es Salaam , Ilala , Gerezani , 9 months ago
Kinyerezi

Haven Real Estate
Verified documentsKiwanja kina ukubwa wa SQM 1024. Nyumba Ina vyumba 3 ( 2 ni master bedrooms na kimoja ni Cha kawaida), Ina seating room kubwa sana na Dinning room kubwa, jiko kubwa na stoo kubwa. Title Deed ( Hati miliki) IPO hatua za mwisho wizarani. Bei ya nyumba ni Tsh 250M maongezi yapo. Mteja anaruhusiwa kulipa Kwa awamu Moja au mbili. Kutoka barabara kubwa ya Lami hadi kwenye nyumba ni Dakika mbili Kwa kutumia gari, ipo umbali wa mita 300 kutoka barabara kubwa ya Lami. Soph
TSh 250,000,000
Safety tips
Similar properties