




TSh 35,000,000
Dar es Salaam , Ilala , Ukonga , 3 years ago
Nyumba inauzwa milioni 35 ipo Ukonga Mazizini.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba hiyo inauzwa kwa bei nafuu sana, kwa sababu ipo city center, imejaa wapangaji, kodi kwa kila chumba kimoja ni tshs elfu arobaini, idadi ya vyumba ni nane, karibu ndugu mteja ujipatie nyumba kwa nafuu. Changamkia fulsa hiyo.
TSh 35,000,000
Safety tips
Similar properties