




TSh 100,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
kimara mwisho

Peter D
Verified documentsChumba kikubwa na sebule kubwa sana na choo chake ndani kwa ndani hamna kutoka nnje wala kubeba ndoo ya maji maana maji yana flow chooni. Nyumba ipo ndani ya fence inayoingiza gari, na ni umbali wa kutembea kutoka mwendokasi. Kodi kuanzia miezi 3 inapokelewa karibu sana.
TSh 100,000 per month
Safety tips
Similar properties