




TSh 75,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 1 year ago
Njia 4

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea yenyewe ndani ya fence, ukubwa wa kiwanja ni sqm 400, ipo umbali wa kilometer 1.5 kutoka goba road (lami), umeme na maji vyote vipo, karibu sana MAONGEZI YAPO
TSh 75,000,000
Safety tips
Similar properties