




TSh 1,200,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsNyumba kubwa ya kisasa ya familia inayojitegemea yenyewe kwenye fensi kubwa inapangishwa = x 6 (milioni 1 na laki mbili tuu) nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 4 vya kulala kati ya hivyo vyumba 3 ni master bedroom !!kwenye hizi master bedroom 3 mojawapo ni master bedroom kuu ambayo ni kubwa sana sana #sebule kubwa sana na zipo sebule mbili #dining #jiko kubwa la kisasa #heater za maji moto na maji baridi #aircondition zimefungwa vyumba vyote pamoja na sebuleni #ccctv camera #garden nzuri #parking kubwa sana bei ni nyumba hii kubwa ya familia ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 6-7 tuu kwa miguu na njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba pia unaweza kupitia mbezi kwa msuguri ni dk 2 tu.
TSh 1,200,000 per month
Safety tips
Similar properties