




TSh 200,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 2 years ago
Nyumba ya ramani inapangishwa laki mbili Ukonga Majohe Rada.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba inapangishwa laki mbili Kwa mwezi mmoja malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Majohe Rada jirani na stendi ya daladala, ina vyumba vitatu vya kulala sebule dining jiko stoo master pablic ndani ya fensi, huduma zote za kijamii zipo karibu.
TSh 200,000 per month
Safety tips
Similar properties