




TSh 55,000,000
Dar es Salaam , Temeke , Kigamboni , 2 years ago
Mbezi kwa msuguri
Prince Realtor
Verified documentsNyumba inauzwa ipo mbezi mwisho kwa msuguli (ubungo municipality) nyumba iko jilan kabisa na barabara ya zege (ukishuka tu kwenye bajaji unatembea ) bei tsh milion 55 maongezi yapo umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa (sales agreement) ukubwa wa eneo: sqm 400 vyumba vitatu vya kulala chumba kimoja master dinning room sitting room kitchen public toilet gharama za kwenda site ni tshs elfu 50,000/=
TSh 55,000,000
Safety tips
Similar properties