




TSh 55,000,000
Dar es Salaam , Temeke , Kigamboni , 2 years ago
Mbezi kwa msuguri

gps real estate
Verified documentsNyumba inauzwa ipo mbezi mwisho kwa msuguli (ubungo municipality) nyumba iko jilan kabisa na barabara ya zege (ukishuka tu kwenye bajaji unatembea ) bei tsh milion 55 maongezi yapo umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa (sales agreement) ukubwa wa eneo: sqm 400 vyumba vitatu vya kulala chumba kimoja master dinning room sitting room kitchen public toilet gharama za kwenda site ni tshs elfu 50,000/=
TSh 55,000,000
Safety tips
Similar properties