




TSh 75,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 1 year ago
Mbagala Dovya
Prince Realtor
Verified documentsNyumba ipo mbagala chamazi mtaa wa dovya nyumba nzuri sana mpya kabisa ime jengwa kisasa iko vzuri sana ina uzwa bei nzuri sana tsh mil 75 tu ina eneo kubwa square miter 400 ina documents ya mauziano ya office ya silikali ya mtaa vyumba vya kulala vitatu kimoja ni master bdroom ina sitting room ina daining room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa ruku ukubwa wa eneo square miter 400 kutoka bara bara kuu ya lami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 3 tu b
TSh 75,000,000
Safety tips
Similar properties