




TSh 550,000,000
Mwanza-Nyamagana Luchelele

Nasib Isack
Verified documents, Lodge inauzwa inavitu vifuatavyo;
1.ukubwa wa kiwanja ni sqm2400
2.ina maeneo matatu
- ina huduma ya vyumba, vyumba 10 vyote ni self
--ina sebule kubwa, store kubwa na reception(mapokezi) na ina choo cha publick
- ina huduma ya bar na ina swimming pull ,vyoo vya nje,sehem ya laundry (kufulia nguo), store ya nje pia
- ina kiwanja nje ya fensi ambacho kinashikana na fensi chenye ukubwa wa meter 40 kwa 20 ambacho unaweza jenga ukumbi mkubwa sana pi kwa ndan kuna parking kubwa na yakutosha, ina patikana Mwanza Malimbe (SAUT) Luchelele ilipo panafikika vzur mno inauzwa 550million maongez yapoooo karbu sana
TSh 550,000,000
Safety tips
Similar properties