




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara stop over

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa ipo jirani na barabara kuu inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba master bedroom kubwa sana #sebule kubwa sana #jiko kubwa open kitchen #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking bei ni250k x 6 ilipwe laki 2 na elfu 50 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara stop over upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 6-7 tuu kwa miguu kuoneshwa nyumba hii utalipia pesa shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja shilingi laki 2 na nusu
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties