




TSh 330,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 15/02/2024 kuona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo na malipo yanapokelewa apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa sana vya kulala !!hakuna master bedroom hapa #sebule kubwa sana #jiko kubwa la kisasa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking #garden bei ni 330,000/= x 6 ilipwe laki 3 na elfu 30 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji au bodaboda kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja itakua wazi kuanzia tarehe 15/02/2024 au mapema zaidi ya hapo
TSh 330,000 per month
Safety tips
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Duplex House for Rent in dar-es-salaam
Duplex House for Rent in kinondoni
2 Bedrooms Duplex House for Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Duplex House for Rent in kinondoni
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Similar properties