




TSh 500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
baruti

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita yake ya maji. Ipo umbali wa dakika 8 kutembea kwa miguu kutoka kituo cha mwendokasi. Unaingia mwenyewe kwenye geti lako karibu sana.
TSh 500,000 per month
Safety tips
Similar properties