




TSh 200,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
mbez kwa yusuph

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kibachela inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba kikubwa #sebule kubwa #jiko #choo kizuri cha ndani kwa ndani #maji dawasa yanatoka ndani masaa 24 #paving #garden #parking bei ni 200k x 4 ilipwe laki 2 kwa mwezi malipo ya miezi 4 na kuendelea apartment hii ipo mbezi kwa yusuph upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 15 tuu kwa miguu njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 200,000 per month
Safety tips
Similar properties