




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documents(300,000x6) apartment ya kifamilia inapangishwa location kimara temboni umbali wa kilometa (1 toka kimara suka usafiri wa uhakika = / ina vyumba vitatu(3) vya kulala kimoja wapo master sebule kubwaa dining jiko kubwa public toilet ya ndani tailz gpsum umeme na maji inajitegemea ndani ya fensi kupelekwa kuona nyumba services chug ni 15,000 na bila kusahau pesa ya mwezi mmoja kwa dalali pindi ulipiapo nyumba sina cheni namaliza biashala hapa
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties