




TSh 120,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Kwa msuguri
Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Kwa nyuma kuna vyumba 3 vimejengwa ila havijakamilika, umeme na maji yapo dawasa, pia njia yake ni rafiki kutoka lami mpaka kwenye nyumba, Ipo umbali wa dakika 13 kwa miguu kutoka morogoro road
TSh 120,000,000
Safety tips
Similar properties