




TSh 250,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 days ago
Kwa msuguri
Peter D
Verified documentsBangaloo kubwa zuri lenye hati miliki linauzwa 250,000,000/= milion maongezi yapo nyumba hii kubwa la kisasa lina sifa zifuatazo # vyumba 6 vya kulala kati ya hivyo vyumba 2 ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #dinning #jiko kubwa la kisasa #public toilet zipo mbili yaani juu gorafani na chini pia #store zipo 2 #makabati ya nguo vyumbani nyumba hii ina hati miliki ukubwa wa eneo ni:- square meter 1000 bei ya kuuzwa nyumba hii ni shilingi milioni 250m maongezi yapo nyumba hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bodaboda sh elfu 1 tuu hadi kwenye nyumba nyumba hii kwa sasa inampangaji ndani analipa kodi shilingi laki 8 (800,000/= tsh) kwa mwezi kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 30
TSh 250,000,000
Safety tips
Similar properties