




TSh 500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsNyumba nzuri ya kisasa inapangishwa na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa zipo tatu tuu kwenye fensi moja na zipo mbalimbali na hii moja ndio inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa sana #dining #jiko kubwa la kisasa #chumba cha kujisomea #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #zipo apartment 3 tuu kwenye fensi moja na zipo mbalimbali na hii moja ndio inapangishwa bei ni 500k x 6 ilipwe laki 5 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu kuoneshwa nyumba hii utalipia shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba utalipia kodi ya udalali kodi ya mwezi mmoja apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji sh 500 njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 500,000 per month
Safety tips
Similar properties