




TSh 850,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 1 year ago
Madale

Peter D
Verified documentsStand alone ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule kubwa, dining, jiko la kisasa lenye makabati na public toilet ndani. Umeme na maji Dawasa vyote vipo, nyumba ipo ndani ya fence yenye parking kubwa na paving blocks, pia kwa uwani kuna banda kubwa ambalo unaweza kutumia kufugia kuku. Nyumba hii ipo karibu na lami kwa mwendo wa dakika 5 kwa miguu
TSh 850,000 per month
Safety tips
Similar properties