




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara stop over

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba kikubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #choo kizuri cha ndani kwa ndani (public toilet) #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking bei ni 250k x 2,3... ilipwe laki 2 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 2 na kuendelea apartment hii ipo kimara stop over upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bodaboda sh elfu 1 kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 30
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties