




TSh 50,000,000
Dar es Salaam , Temeke , Mbagala , 3 years ago
kisewe

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Nyumba ipo ndani ya fence inayoingiza gari na njia yake ni rafiki maana ipo sehemu tambarale. Umeme na maji vyote vipo pia na huduma mbalimbali za kijamii zinapatikana kwa urahisi na zipo karibu nyingi za kutosha.
TSh 50,000,000
Safety tips
Similar properties