




TSh 100,000,000
Kibaha Maili Moja
Prince Realtor
Verified documentsNyumba inauzwaa nyumba ipo mkoa wa pwani kibaha maili moja nyumba ipo mwanalugali shule ya scondary nyumba ni mbili kwa moja inapande mbili upande wa kwanza kuna vyumba v3 sebule jiko daining publc chumba master na wa pili pia hivyohivyo eneo sqm 6000 ipo mtaa mkubwa sana bei mil 100 maongezi yapo boda 2000 hati mauziano selikali ya mtaa karibu sana mteja ■ mteja mmoja aiwahi hii ni mali safii unakagua kwanza ukijiridhisha ndo unalipia gharama ya kukupeleka site ni elf 50 upapende au usipapende ilimradi umefika site haisuani na garama za usafiri kwa maelezo zaidi nipigie
TSh 100,000,000
Safety tips
Similar properties