




TSh 90,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 11 months ago
Mpigi magoe
Prince Realtor
Verified documentsNyumba kubwa ya kisasa ya familia inauzwa pamoja na servant coter yake ya chumba master na sebule bei ni milioni 90 maongezi yapo nyumba hii ina sifa zifuatazo vyumba 3 vikubwa vya kulala chumba kimoja wapo ni master bedroom kubwa sebule kubwa dinning jiko kubwa store public toilet ukubwa wa kiwanja sqm 750 documents:- mauziano halali kutoka serikali ya mtaa bei ya kuuzwa ni milioni 90 maongezi yapo d 9 nyumba hi ipo #mbezi_mwisho njia ya kuelekea mpigi magohe na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 3 na kutoka mpigi road hadi kwenye nyumba ni sekunde 10 tuu kwa miguu kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 25k ndugu mteja
TSh 90,000,000
Safety tips
Similar properties