




TSh 120,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 1 year ago
Kimara temboni
Prince Realtor
Verified documentsNyumba kubwa ya familia yenye eneo kubwa inauzwa pamoja na fremu zake zipo 5 kubwa nyumba hii kubwa ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana #sebule kubwa sana #dining #jiko kubwa #store #public toilet #maji dawasa yapo pia kuna servant coter ya vyumba 2 na sebule na jiko document:- hati safi ya mauziano kutoka serikali ya mtaa (full documents) ukubwa wa eneo ni :- urefu ni meters 40 na upana ni meters 30 bei ni milioni 120 maongezi yapo nyumba hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bodaboda sh elfu 1 kuoneshwa nyumba hii ndugu mteja garama yake garama yake ni elfu 30
TSh 120,000,000
Safety tips
Similar properties