




TSh 180,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 1 year ago
Mbezi mwisho
Prince Realtor
Verified documentsNyumba yenye eneo kubwa sana inauzwa mbezi mwisho (ubungo municipality). ina vyumba vitatu kimoja master, dinning, sitting, kitchen&public toilet pia kuna servant quarter ina apartment tatu mbil chumba kimoja na sebule pia kuna chumba single kimoja na choo cha nje umiliki : hati miliki (title deed) ukubwa wa eneo: sqm 1590 umbali: meter 100 kutoka barabara kuu ya lami nyumba iko mtaa mzuri ukiwa kwenye nyumba unaona kituo cha mabasi makubwa magufuli bus terminal eneo ni zuri sana kwa uwekezaji wa apartment, lodge & hotel maji ya dawasco na umeme vyote vipo
TSh 180,000,000
Safety tips
Similar properties