




TSh 180,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
korogwe

Peter D
Verified documentsApartment ina chumba, sebule, jiko na choo ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita yake ya maji. Nyumba ipo ndani ya fence amabayo haiingizi gari lakini gari inafika mpaka kwenye nyumba.
TSh 180,000 per month
Safety tips
Similar properties