




TSh 80,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 3 years ago
mageti

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Pembeni yake kuna nyumba nyingine ambayo ina master mbili (chumba na choo ndani mara mbili) Nyumba ipo karibu na barabara ya lami kwa umbali wa kutembea dakika 8 karibu sana maongezi yapo
TSh 80,000,000
Safety tips
Similar properties