




TSh 130,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ukonga , 2 years ago
Apartment ya 1bdrm inapangishwa laki 130 Moshibar Kwa diwani

ROMENI JOHN
Verified documentsApartment ya chumba kimoja master sebule na kibalaza cha jiko inapangishwa laki 130 ipo Ukonga Moshibar Kwa diwani, malipo ni miezi sita au minne na mwezi mmoja wa madalali, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hiyo/ msukuma.rafiki.
TSh 130,000 per month
Safety tips
Similar properties