




TSh 35,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbweni , 9 months ago
Teta

Haven Real Estate
Verified documentsPagale/nyumba ya kumalizia na kuhamia ni ya nne kutoka lami inauzwa mbweni teta karibu na shule ya feza gari inafika hadi kwenye nyumba bei mwenyewe anataka million 35 ina vyumba vitatu na sebule ukubwa wa eneo inafika sqmt 300 makadirio inaweza kuzidi kidogo mauziano serikali ya mtaa ruksa kufanya chini ya mwanasheria wako au mahakama service charge 50k iss
TSh 35,000,000
Safety tips
Similar properties