




TSh 500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsNyumba nzuri ya kisasa inapangishwa na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa zipo mbili tuu kwenye fensi moja na zipo mbalimbali na hii moja ndio inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #dining #jiko kubwa la kisasa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na zipo mbalimbali na hii moja ndio inapangishwa #garden bei ni 500k x 6 ilipwe laki 5 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu kuoneshwa nyumba hii utalipia shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba utalipia kodi ya udalali kodi ya mwezi mmoja apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 12 tuu kwa miguu njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 500,000 per month
Safety tips
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Bungalow for Rent in dar-es-salaam
Bungalow for Rent in kinondoni
3 Bedrooms Bungalow for Rent in dar-es-salaam
3 Bedrooms Bungalow for Rent in kinondoni
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Similar properties