




TSh 3,000,000 per half-year
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 4 years ago
kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsNyumba kubwa na ya kisasa kabisa inapangishwa ina vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kati ya hivyo vyumba 2 ni master bedroom, sebule kubwa, dining, jiko kubwa la kisasa na vyumba vyote vinamakabati ndani, heater, garden nzuri, pia mwenye nyumba anaweka paving na kufunga aircondition, nyumba hii inajitegemea yenyewe kwenye fensi, ipo kimara temboni upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 5 tuu kwa miguu bei ni 500k x 6, itakua wazi kuanzia tarehe 01/02/2022 kuona na kulipia ni ruksa
TSh 3,000,000 per half-year
Safety tips
Similar properties