




TSh 95,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 3 years ago
mbagala chamaz
Prince Realtor
Verified documentsHii si ya kuikosa kabisa mdau wangu ipo mbagala chamanz mzambalauni la dsm wilaya ya temeke ina uzwa eneo square meter 800 ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa vyumba vinne vya kulala vyumba viwili ni master bedroom ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet pamoja na maji na umeme kutoka bara bara kuu ya rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 3 tu ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek whatsapp
TSh 95,000,000
Safety tips
Similar properties