




TSh 450,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara butcher

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa na itakua wazi kuanzia 14/11/2023 au mapema zaidi ya hapo apartment hii ina sifa zifuatazo # vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master # sebule kubwa # jiko kubwa # public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #garden #parking kubwa ya kutosha bei ni 450k x 6 ilipwe laki 4 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu ulinzi upo masaa 24 na usafi wa mazingira na mtunza garden vyote hivi vinalipwa na mwenye nyumba apartment hii ipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 450,000 per month
Safety tips
Similar properties