




TSh 77,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 1 year ago
Kwa msuguri

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji DAWASA vyote vipo na huduma nyingine za kijamii zinapatikana kwa urahisi mno. Ipo umbali wa km3 kutoka morogoro road, bajaji Tsh1000, boda Tsh1,500... Karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO
TSh 77,000,000
Safety tips
Similar properties